forked from WA-Catalog/sw_tn
308 B
308 B
Leshemu
Hili ni jina la mji
Huu ulikuwa urithi wa kabila la Dani,
Nchi na miji ambayo kabila la Dani liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu,
waliopewa kufuatana na koo zao
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao