forked from WA-Catalog/sw_tn
344 B
344 B
Eni Shemeshi...Gelilothi...Adumimu...Bethi Araba
Haya ni majina ya sehemu/mahali
Jiwe la Bohani
Hili lilikuwa ni jiwe kubwa ambalo mtu fulani aliliweka kama alama na liliitwa kwa jina la mtu aliyeitwa Bohani.
bega la Bethi Araba
Nchi ambayo ina mteremko au mgongo ulioinama inasemwa kana kwamba ni bega. "Mteremko wa Bethi Araba"