forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
344 B
Markdown
13 lines
344 B
Markdown
|
# Eni Shemeshi...Gelilothi...Adumimu...Bethi Araba
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya sehemu/mahali
|
||
|
|
||
|
# Jiwe la Bohani
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa ni jiwe kubwa ambalo mtu fulani aliliweka kama alama na liliitwa kwa jina la mtu aliyeitwa Bohani.
|
||
|
|
||
|
# bega la Bethi Araba
|
||
|
|
||
|
Nchi ambayo ina mteremko au mgongo ulioinama inasemwa kana kwamba ni bega. "Mteremko wa Bethi Araba"
|
||
|
|