forked from WA-Catalog/sw_tn
595 B
595 B
Musa aliwapa urithi nusu ya kabila la Manase
Nchi ambayo Musa aliwapa nusu ya kabila la Manase inazungumziwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao aliwapa kama mali ya kudumu.
nusu ya kabila la Manase
Ni nusu tu ya kabila ilipokea nchi hii kwasababu nusu nyingine ilipokea nchi katika upande mwingine wa mto Yordani.
Uligawiwa
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Musa aliugawa"
Mahanaimu...Yairi...Ashitarothi...Edrei.
haya ni majina ya mahali/sehemu
Makiri
Hili ni jina la mwanaume.
hii iligawanywa
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Musa alizigawa hii miji"