forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
595 B
Markdown
25 lines
595 B
Markdown
|
# Musa aliwapa urithi nusu ya kabila la Manase
|
||
|
|
||
|
Nchi ambayo Musa aliwapa nusu ya kabila la Manase inazungumziwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao aliwapa kama mali ya kudumu.
|
||
|
|
||
|
# nusu ya kabila la Manase
|
||
|
|
||
|
Ni nusu tu ya kabila ilipokea nchi hii kwasababu nusu nyingine ilipokea nchi katika upande mwingine wa mto Yordani.
|
||
|
|
||
|
# Uligawiwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Musa aliugawa"
|
||
|
|
||
|
# Mahanaimu...Yairi...Ashitarothi...Edrei.
|
||
|
|
||
|
haya ni majina ya mahali/sehemu
|
||
|
|
||
|
# Makiri
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# hii iligawanywa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Musa alizigawa hii miji"
|
||
|
|