Maelezo ya jumla
Katika mustari wa 13 kuna kituo katika mtiririko wa habari kama ambavyo Yohana unaongelea kuhusu wanafunzi wa Yesu kutokuelewa kile ambacho Yesu alimaanisha aliposema kuwa Lazaro amelala.
kama amelala
Wanafunzi walidhani kuwa Lazaro amepumzika tu na baadaye ataamka.