forked from WA-Catalog/sw_tn
413 B
413 B
Baada ya haya
Hii inamaanisha baada ya Yesu kuongea na Nikodemo.
Aenoni
Neno hili linamaanisha "chemuchemi."
Salimu
kijiji au mji ulio karibu na Mto Yorodani.
kwa sababu mahali pale kulikuwa na maji mengi
"kwa sababu kilikuwa na chemuchemi nyingi katika sehemu ile."
walikuwa wakibatizwa
hili linaweza kusemwa kwa muundo wa kutenda. '" Yohana alikuwa akiwabatiza " au " alikuwa akiwabatiza."