forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
543 B
Markdown
29 lines
543 B
Markdown
# watu hawa
|
|
|
|
"watu wa Yerusalemu"
|
|
|
|
# nitaweka mbele yako njia ya uzima na njia ya mauti.
|
|
|
|
Bwana anawapa watu wa Yerusalemu uchaguzi ambao utaamua kama wanaishi au kufa.
|
|
|
|
# kuanguka kwa magoti mbele
|
|
|
|
"kujisalimisha kwa "
|
|
|
|
# imefungwa kinyume
|
|
|
|
"kushambuliwa kutoka pande zote"
|
|
|
|
# Nimeweka uso wangu kinyume
|
|
|
|
"Nimekataa kupinga" au "nimegeukia"
|
|
|
|
# Yeye ataokoka na maisha yake
|
|
|
|
Yule anayejisalimisha kwa Wababiloni ataokoka na maisha yake, ingawa atapoteza mali zake zote.
|
|
|
|
# hili ni tamko la Bwana
|
|
|
|
Angalia jinsi ulivyotafasiri hii katika 1:7.
|
|
|