forked from WA-Catalog/sw_tn
469 B
469 B
Walipomwambia Sisera
Hapa haijambainisha mtu moja kwa moja. "mtu alipomwambia Sisera"
Sisera
Hili ni jina la mwanaume.
Baraka ... Abinoamu ... mlima wa Tabori
Baraka na Abinoamu ni majina ya mwanaume. Na mlima wa Tabori ni jina la mlima.
Sisera akayaita magari yake yote
"magari" yanawakilisha askari wanaoendesha magari.
magari ya farasi mia tisa
"Magari ya farasi 900"
Haroshethi
Hili ni jina la mahali.
Mto Kishoni.
Hili ni jinala mto.