forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
469 B
Markdown
29 lines
469 B
Markdown
|
# Walipomwambia Sisera
|
||
|
|
||
|
Hapa haijambainisha mtu moja kwa moja. "mtu alipomwambia Sisera"
|
||
|
|
||
|
# Sisera
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# Baraka ... Abinoamu ... mlima wa Tabori
|
||
|
|
||
|
Baraka na Abinoamu ni majina ya mwanaume. Na mlima wa Tabori ni jina la mlima.
|
||
|
|
||
|
# Sisera akayaita magari yake yote
|
||
|
|
||
|
"magari" yanawakilisha askari wanaoendesha magari.
|
||
|
|
||
|
# magari ya farasi mia tisa
|
||
|
|
||
|
"Magari ya farasi 900"
|
||
|
|
||
|
# Haroshethi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mahali.
|
||
|
|
||
|
# Mto Kishoni.
|
||
|
|
||
|
Hili ni jinala mto.
|
||
|
|