sw_tn/isa/46/03.md

587 B

Nisikilize mimi

Hapa "mimi" ina maana ya Yahwe

ambao wamebebwa na mimi kabla ya kuzaliwa kwako, kubebwa kutoka tumboni

Yahwe anazungumzia taifa la Israeli kana kwamba lilikuwa mtu, na mwanzo wa taifa kana kwamba ni kuzaliwa kwake.

ambao wamebebwa na mimi

Yahwe anazungumzia kusaidi na kuokoa watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akiwabeba. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambao nimewabeba"

Hata katika uzee wako mimi ndiye, na mpaka nywele zako ni mvi nitakubeba

Yahwe anazungumzia taifa la Israeli kuwa zee sana kana kwamba likikuwa mwanamume mzee mwenye mvi.