forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
514 B
Markdown
17 lines
514 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
|
|
|
# Kama swala anayewindwa au kama kondoo asiyekuwa na mchungaji
|
|
|
|
"Kama swala ambaye hukimbia haraka pale watu wanapomwinda, na kama kondoo ambaye hana mchungaji anavyokimbia kutoka kwa wanyama pori"
|
|
|
|
# swala
|
|
|
|
mnyama ambaye anafanana na mbawala. Watu huwawinda, na wanyama pori mara nyingine huwashambulia na kuwaua.
|
|
|
|
# kama kondoo asiyekuwa na mchungaji
|
|
|
|
Kondoo ambao hawana mchungaji hawana mtu wa kuwalinda kutoka kwa wanyama pori ambao huwashambulia na kuwaua.
|
|
|