forked from WA-Catalog/sw_tn
514 B
514 B
Maelezo ya Jumla
Yahwe anaendelea kuzungumza.
Kama swala anayewindwa au kama kondoo asiyekuwa na mchungaji
"Kama swala ambaye hukimbia haraka pale watu wanapomwinda, na kama kondoo ambaye hana mchungaji anavyokimbia kutoka kwa wanyama pori"
swala
mnyama ambaye anafanana na mbawala. Watu huwawinda, na wanyama pori mara nyingine huwashambulia na kuwaua.
kama kondoo asiyekuwa na mchungaji
Kondoo ambao hawana mchungaji hawana mtu wa kuwalinda kutoka kwa wanyama pori ambao huwashambulia na kuwaua.