forked from WA-Catalog/sw_tn
540 B
540 B
tunashawishiwa
ingawa mwandishi anatumia nomino ya wingi "Tuna" mara nyingi anamaanisha yeye mwenyewe.
ambo mazuri yawahusuyo
Hii inamaana kuwa wanafanya vizuri kuliko wale walio mkataa Mungu, wasiomtii yeye, na hawawezi tena kutubu ili kwamba awasamene.
mambo yahusuyo wokovu
Nomino dhaaniwa "wokovu" inaweza kuwekwa kama kitenzi.
Kwa kuwa Mungu si dhalimu hata asahau
Maneno haya yanamaanisha kuwa Mungu katika haki yake atakumbuka mambo mazuri ambayo watu wake wameyafanya.
jina lake
"Jina" lake lina maanisha Mungu