forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
540 B
Markdown
21 lines
540 B
Markdown
|
# tunashawishiwa
|
||
|
|
||
|
ingawa mwandishi anatumia nomino ya wingi "Tuna" mara nyingi anamaanisha yeye mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# ambo mazuri yawahusuyo
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana kuwa wanafanya vizuri kuliko wale walio mkataa Mungu, wasiomtii yeye, na hawawezi tena kutubu ili kwamba awasamene.
|
||
|
|
||
|
# mambo yahusuyo wokovu
|
||
|
|
||
|
Nomino dhaaniwa "wokovu" inaweza kuwekwa kama kitenzi.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa Mungu si dhalimu hata asahau
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanamaanisha kuwa Mungu katika haki yake atakumbuka mambo mazuri ambayo watu wake wameyafanya.
|
||
|
|
||
|
# jina lake
|
||
|
|
||
|
"Jina" lake lina maanisha Mungu
|
||
|
|