forked from WA-Catalog/sw_tn
543 B
543 B
akamjua
akamjua
na akasema, " Mungu amenipatia mtoto mwingine wa kiume
Hii ni sababu ya yeye kumuita Sethi. Hii inaweza kuwekwa dhahiri. "na ikaeleza, 'Mungu amenipa mtoto mwingine'"
Sethi
Hili jina linaonekana kama neno la Kiyahudi lenye maana ya "amenipatia"
Mtoto wa kiume alizaliwa kwa Seth
Hii inaweza kuwekwa dhahiri. "mke wa Sethi alimzalia mtoto wa kiume"
kuliitia jina la Yahwe
Hii ni mara ya kwanza watu wanamuita Mungu kwa jina la Yahwe. Hii inaweza kuwekwa dhahiri. "kumuabudu Mungu kwa kutumia jina la Yahwe"