forked from WA-Catalog/sw_tn
378 B
378 B
Niliposikia haya
Ezra aliposikia kwamba Waisraeli wengi wameoa wanawake wa kigeni na walikuwa wakiabudu miungu yao
nikachana nguo zangu na kanzu yangu na kunyoa nwele kichwani na ndevu
Ezra alikuwa akionyesha kila mmoja jinsi asivyopendezwa na watu walivyofanya mamboyaliyomchukiza Mungu
sadaka za jioni
sadaka ambayo makuhani wangeitoa kipindi ambacho jua linazama