forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
569 B
Markdown
25 lines
569 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kumwambia Farao atafanya nini juu ya Misri.
|
|
|
|
# Kisha wakati nitakapo izimisha taa yako
|
|
|
|
"Yahwe analinganisha jinsi atakavyo muangamiza Farao kwa jinsi atakavyoweka moto wa taa. "Wakati nitakapokuharibu"
|
|
|
|
# nitazifunika mbingu
|
|
|
|
Yahwe ataifunika anga ili kwamba watu wa nchi hawawezi kuona mwanga wa nyota, jua na mwezi.
|
|
|
|
# giza na nyota zake
|
|
|
|
"nitazifanya nyota giza." Hakutakuwa na nuru.
|
|
|
|
# nitaweka giza juu ya nchi
|
|
|
|
"nitalifanya giza katika nchi yako"
|
|
|
|
# hili ni tangazo la Bwana Yahwe
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
|
|
|