forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
513 B
Markdown
17 lines
513 B
Markdown
# Taarifa za Msingi:
|
|
|
|
Yehova anaendelea kuzungumza juu ya mwana asiyetenda dhambi kama za baba yake.
|
|
|
|
# walio uchi
|
|
|
|
Hii inaweza kumaanisha watu wasio na nguo kabisa, lakini kwa sehemu kubwa inamaanisha watu wenye mavazi chakavu, mavazi duni sana.
|
|
|
|
# huwavika nguo walio uchi
|
|
|
|
Kuwapatia nguo watu wenye uhitaji wa nguo linazungumziwa kama tendo la kuwavalisha nguo katika miili yao. (lugha ya picha)
|
|
|
|
# huuondoa mkono wake kwa maskini
|
|
|
|
Hapa neno "mkono" linasimama badala ya maneno "kutenda matendo yasiyo haki"
|
|
|