forked from WA-Catalog/sw_tn
599 B
599 B
neno la Yahwe likaja
"Yahwe alinena neno lake."
mwanadamu
(mimi) Ezekieli
wanotabiri nje ya fikra zao wenyewe
kutabiri kutokana na mawazo yao wenyewe
fuata roho zao wenyewe
Hili neno limetumika kwa nabii kufanya kile wanachotaka. Neno "roho" linarejea kwa mawazo yao na neno "fuata" linarejea kwa kile wanachokifanya.
mbweha
wanyama wa porini kama mbwa au mbweha mwitu.
kama mbeha kwenye aridhi iliyoharibiwa
Kama mbweha aliyeiba chakula kutoka wanyama wengine katika jangwa, manabii huiba kutoka watu wa Israeli wakati wanapodanganya kuhusu kuwa na ujumbe kutoka kwa Mungu.