forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
536 B
Markdown
25 lines
536 B
Markdown
# kutoka kwa kerubi ambapo ilikuwa
|
|
|
|
"kutoka juu ya mabawa manne ya viumbe"
|
|
|
|
# kisingiti cha nyumba
|
|
|
|
"Nyumba" inarejea kwa hekalu la Mungu.
|
|
|
|
# kitani
|
|
|
|
imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto.
|
|
|
|
# kifaa cha uandishi
|
|
|
|
vifaa ambavyo waandishi hutumua kuandikia
|
|
|
|
# waliolemewa na kushusha/kuvuta pumzi
|
|
|
|
Hizi ni sauti ambazo watu hufanya wakati wanapojisikia huzuni sana au kusikitishwa kuhusu jambo
|
|
|
|
# machukizo yanafanyika kati ya mji
|
|
|
|
"mambo ya kutisha yamekuwa yakifanyika katika mji"
|
|
|