forked from WA-Catalog/sw_tn
536 B
536 B
kutoka kwa kerubi ambapo ilikuwa
"kutoka juu ya mabawa manne ya viumbe"
kisingiti cha nyumba
"Nyumba" inarejea kwa hekalu la Mungu.
kitani
imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto.
kifaa cha uandishi
vifaa ambavyo waandishi hutumua kuandikia
waliolemewa na kushusha/kuvuta pumzi
Hizi ni sauti ambazo watu hufanya wakati wanapojisikia huzuni sana au kusikitishwa kuhusu jambo
machukizo yanafanyika kati ya mji
"mambo ya kutisha yamekuwa yakifanyika katika mji"