forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
534 B
Markdown
13 lines
534 B
Markdown
# Wazazi hawapaswi kuuwawa kwa niaba ya watoto wao
|
|
|
|
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Haupaswi kuwaua wazazi kwa sababu ya jambo baya ambalo mmoja wa watoto wamefanya"
|
|
|
|
# na wala watoto hawapaswi kuuawa kwa niaba ya wazazi wao
|
|
|
|
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "na haupaswi kuwaua watoto kwa sababu ya jambo baya ambalo wazazi wao wamefanya"
|
|
|
|
# kila mtu anapaswa kuuwawa kwa dhambi yake mwenyewe
|
|
|
|
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "unapaswa kumuua mtu kwa sababa ya jambo baya alilofanya mwenyewe tu"
|
|
|