forked from WA-Catalog/sw_tn
534 B
534 B
Wazazi hawapaswi kuuwawa kwa niaba ya watoto wao
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "Haupaswi kuwaua wazazi kwa sababu ya jambo baya ambalo mmoja wa watoto wamefanya"
na wala watoto hawapaswi kuuawa kwa niaba ya wazazi wao
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "na haupaswi kuwaua watoto kwa sababu ya jambo baya ambalo wazazi wao wamefanya"
kila mtu anapaswa kuuwawa kwa dhambi yake mwenyewe
Hii inaweza kuwekwa katika hali ya kutenda. "unapaswa kumuua mtu kwa sababa ya jambo baya alilofanya mwenyewe tu"