forked from WA-Catalog/sw_tn
472 B
472 B
Taarifa ya ujumla
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja.
Hautavipigia magoti au kuvitumia
"Hautaabudu sanamu za kuchonga au fanya kama wanavyowa waamrisha"
Hauta
"Hapana"
Mimi...ni Mungu wa wivu
"Mimi...nataka mniabudu mimi pekee"
kwa maelfu, kwa wale wanapendao
Tofasiri zingine usoma " kwa vizazi elfu ambao wananipenda." Neno "elfu" ni mfano wa namba inayozidi kuhesabu.