forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
472 B
Markdown
21 lines
472 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano yote ya "wewe" na "yako" ni umoja.
|
||
|
|
||
|
# Hautavipigia magoti au kuvitumia
|
||
|
|
||
|
"Hautaabudu sanamu za kuchonga au fanya kama wanavyowa waamrisha"
|
||
|
|
||
|
# Hauta
|
||
|
|
||
|
"Hapana"
|
||
|
|
||
|
# Mimi...ni Mungu wa wivu
|
||
|
|
||
|
"Mimi...nataka mniabudu mimi pekee"
|
||
|
|
||
|
# kwa maelfu, kwa wale wanapendao
|
||
|
|
||
|
Tofasiri zingine usoma " kwa vizazi elfu ambao wananipenda." Neno "elfu" ni mfano wa namba inayozidi kuhesabu.
|
||
|
|