forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
969 B
Markdown
25 lines
969 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Malaika amemaliza kuongea, na Danieli anaendelea kusema kile alichokiona baadaye katika maono yake tangu katika 10:4
|
|
|
|
# kulikuwa na malaika wengine wawili wamesimama
|
|
|
|
"kulikuwa na malaika wengine wawili wamesimama"
|
|
|
|
# Mmoja wao alimwambia mtu aliyevaa nguo za kitani,
|
|
|
|
Hii inamrejelea mtu aliyekuwa akiongea na Danieli, siyo mmoja wale watu waliokuwa wamesimama pembeni mwa mtu.
|
|
|
|
# ukingo wa mto,
|
|
|
|
Maana zinazoweza kukubalika 1) malaika alikuwa juu ya mto au 2) malaika alikuwa mbali katika ukingo sambamba na mto.
|
|
|
|
# Je itachukua muda gani mpaka mwisho wa matukio haya ya kushangaza?
|
|
|
|
"Matukio haya ya kushangaza yatadumu kwa muda gani?" Hii inarejelea mwanzo hadi mwisho wa matukio.
|
|
|
|
# matukio haya ya kushangaza
|
|
|
|
Katika muda ule ambao malaika alikuwa akiongea na Danieli, hakuna hata tukio hata moja lilikuwa limetokea. Hii kwa uhalisia inarejelea matukio katika 12:1, na huenda yalijumuisha matukio yaliyo katika maono kutoka sura ya 11.
|
|
|