forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
561 B
Markdown
25 lines
561 B
Markdown
# alianguka kifudifudi
|
|
|
|
Tendo hili linaonesha kwamba mfalme alikuwa anamheshimu Danieli. "lala chini huku kichwa kimeelekea chini."
|
|
|
|
# sadaka zitolewe na manukato yatolewe kwake
|
|
|
|
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watumishi wake walitoa sadaka na kutoa manukato kwa Danieli."
|
|
|
|
# Hakika Mungu wako
|
|
|
|
"Ni kweli kwamba Mungu wako"
|
|
|
|
# Mungu wa miungu, Bwana wa wafalme,
|
|
|
|
"mkuu kuliko miungu mingine, na mfalme juu ya wafalme wengine wote"
|
|
|
|
# ambaye hufunua mafumbo
|
|
|
|
"yeye ambaye hufunua siri"
|
|
|
|
# kufumbua mafumbo haya
|
|
|
|
"kufunua siri za ndoto yangu"
|
|
|