forked from WA-Catalog/sw_tn
561 B
561 B
alianguka kifudifudi
Tendo hili linaonesha kwamba mfalme alikuwa anamheshimu Danieli. "lala chini huku kichwa kimeelekea chini."
sadaka zitolewe na manukato yatolewe kwake
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watumishi wake walitoa sadaka na kutoa manukato kwa Danieli."
Hakika Mungu wako
"Ni kweli kwamba Mungu wako"
Mungu wa miungu, Bwana wa wafalme,
"mkuu kuliko miungu mingine, na mfalme juu ya wafalme wengine wote"
ambaye hufunua mafumbo
"yeye ambaye hufunua siri"
kufumbua mafumbo haya
"kufunua siri za ndoto yangu"