forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
318 B
Markdown
13 lines
318 B
Markdown
# 33Wakati mwanga wa asubuhi ulipokuwa unajitokeza
|
|
|
|
Kulipokuwa kukipambazuka
|
|
|
|
# Siku hii ni ya kumi na nne
|
|
|
|
Siku ya kumi na nne
|
|
|
|
# Hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea
|
|
|
|
Hii ilikuwa ni njia ya usemi ulio maanisha kwamba hakuna harari yoyote ingewapata. "Kila mmoja atakuwa salama katika dhoruba hii."
|
|
|