forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
558 B
Markdown
21 lines
558 B
Markdown
# Sasa
|
|
|
|
Paulo alitumia maneno haya kuonesha utetezi mwingine.
|
|
|
|
# Nimesimama hapa ili nihukumiwe
|
|
|
|
"Nipo hapa waliponiweka ili nihukumiwe"
|
|
|
|
# Naziangalia ahadi ambazo Mungu aliwapa baba zetu
|
|
|
|
Paulo ana matumaini na kuja kwa Mesia.
|
|
|
|
# Nategemea kuifikia
|
|
|
|
"Tunaamini kuwa tutapokea ahadi ambayo Mungu ametuahidi"
|
|
|
|
# Kwa nini mnafikiri ni ajabu kwa Mungu kufufua wafu?
|
|
|
|
Paulo alisema haya ili kumfanya Agripa aunganishe aliyoyasema Paulo na ambacho Agripa alikiamini juu ya Mungu anavyoweza kufufua wafu. "Wewe mwenyewe unaamini kuwa Mungu anaweza kufufua wafu"
|
|
|