forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
617 B
Markdown
25 lines
617 B
Markdown
# Kwa hiyo
|
|
|
|
Neno hili linanyesha maelezo ya kilichosemwa kabla. Hivyo Festo alisema mtu aliyeshitakiwa anatakiwa awakabili washitaki wake na kujitetea.
|
|
|
|
# Walipokuja pamoja hapa
|
|
|
|
"wakati viongozi wa Kiyahudi walipokuja kuonana na mimi hapa"
|
|
|
|
# Nilikaa kwenye kiti cha hukumu
|
|
|
|
"Nilikaa juu ya kiti ambacho nilifanya kazi ya hakimu"
|
|
|
|
# Niliamuru mtu huyo aletwe ndani
|
|
|
|
"Niliamuru askari wamlete Paulo mbele yangu"
|
|
|
|
# Dini yao wenyewe
|
|
|
|
Neno "dini" linamaanisha mfumo wa imani ya watu juu ya maisha na nguvu.
|
|
|
|
# Kuhukumiwa kule juu ya mambo haya
|
|
|
|
"ambapo baraza la Wayahudi wataamua kama anamakosa kuhusu masitaka haya"
|
|
|