sw_tn/act/25/17.md

617 B

Kwa hiyo

Neno hili linanyesha maelezo ya kilichosemwa kabla. Hivyo Festo alisema mtu aliyeshitakiwa anatakiwa awakabili washitaki wake na kujitetea.

Walipokuja pamoja hapa

"wakati viongozi wa Kiyahudi walipokuja kuonana na mimi hapa"

Nilikaa kwenye kiti cha hukumu

"Nilikaa juu ya kiti ambacho nilifanya kazi ya hakimu"

Niliamuru mtu huyo aletwe ndani

"Niliamuru askari wamlete Paulo mbele yangu"

Dini yao wenyewe

Neno "dini" linamaanisha mfumo wa imani ya watu juu ya maisha na nguvu.

Kuhukumiwa kule juu ya mambo haya

"ambapo baraza la Wayahudi wataamua kama anamakosa kuhusu masitaka haya"