sw_tn/act/25/01.md

747 B

Taarifa kwa ujumla

Festo ndiye gavana wa Kaisaria

Sasa

Neno hili linaonyesha mwanzo wa tukio linalofuata kwenye simulizi.

Festo akaingia katika jimbo

Inamaanisha 1) Festo aliingia katika eneo au 2) Festo aliingia kwenye eneo ili kuanza kutawala

Alienda toka Kaisaria mpaka Yerusalemu

Hii inamaanisha 1) kwenda juuinaonesha umuhimu wa Yerusalemu au 2) alikwenda mpaka juu kwa kuwa Yerusalemu ipo kilimani.

Walileta mashitaka dhidi ya Paulo

"kumshtaki Paulo kwa kuvunja sheria"

Waliongea kwa nguvu kwa Festo

"walimbembeleza Festo"

Kwamba atamuita..... ili wamuue

"kwamba Festo atamuita Paulo..... ili Wayahudi wamuue"

Anaweza kumuita

Anaweza kumtuma

Wanaweza kumuua njiani

Watamvamia Paulo na kumuua akiwa njiani