forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
747 B
Markdown
37 lines
747 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Festo ndiye gavana wa Kaisaria
|
||
|
|
||
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Neno hili linaonyesha mwanzo wa tukio linalofuata kwenye simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Festo akaingia katika jimbo
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha 1) Festo aliingia katika eneo au 2) Festo aliingia kwenye eneo ili kuanza kutawala
|
||
|
|
||
|
# Alienda toka Kaisaria mpaka Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha 1) kwenda juuinaonesha umuhimu wa Yerusalemu au 2) alikwenda mpaka juu kwa kuwa Yerusalemu ipo kilimani.
|
||
|
|
||
|
# Walileta mashitaka dhidi ya Paulo
|
||
|
|
||
|
"kumshtaki Paulo kwa kuvunja sheria"
|
||
|
|
||
|
# Waliongea kwa nguvu kwa Festo
|
||
|
|
||
|
"walimbembeleza Festo"
|
||
|
|
||
|
# Kwamba atamuita..... ili wamuue
|
||
|
|
||
|
"kwamba Festo atamuita Paulo..... ili Wayahudi wamuue"
|
||
|
|
||
|
# Anaweza kumuita
|
||
|
|
||
|
Anaweza kumtuma
|
||
|
|
||
|
# Wanaweza kumuua njiani
|
||
|
|
||
|
Watamvamia Paulo na kumuua akiwa njiani
|
||
|
|