sw_tn/act/24/20.md

612 B

Sentensi unganishi

Paul alimaliza kumjibu Gavana Feliki kuhusu mashtaka yaliyowasilishwa dhidi yake.

wanaume hawahawa

Hii ina maana ya wajumbe wa baraza ambao walikuwepo Kaisaria katika kesi ya Paulo.

lazima waseme kosa waliloliona kwangu

"waseme iwapo kuna kitu kibaya nilikifanya na kukithibitisha"

Ni kuhusu ufufuo wa wafu

neno "ufufuo" linaweza kutumika kama "Kurudishwa katika maisha na Mungu." Na, neno "wafu" linaweza kuwa "wale waliokufa." "wakati Mungu akiwarudisha katika uhai wale wote waliokuwa wamekufa"

Ninahukumiwa leo na wewe

hii inaweza semwa kama "mnanihukumu mimi leo hii"