sw_tn/act/23/04.md

292 B

Je, hii ni jinsi unavyo mtukana kuhani mkuu wa Mungu?

wanaume walitumia swali hili kumkemea Paul kwa nini alisema. "Usimtusi Kuhani Mkuu wa Mungu!

Kwa maana imeandikwa

Paul ananukuu mambo ambayo Musa aliandika katika sheria. Hii inaweza kuwa: "Kwa maana Musa aliandika katika sheria"