forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
603 B
Markdown
29 lines
603 B
Markdown
# aliukimbilia umati chini
|
|
|
|
Kutoka ngome, kuna ngazi kwenda chini katika mahakama.
|
|
|
|
# mkuu wa kikosi
|
|
|
|
afisa wa kikosi cha kijeshi cha Rumi au kiongozi wa askari wapatao 600
|
|
|
|
# alimkamata Paulo
|
|
|
|
"Akamshika Paulo" au "Paulo alishikiriwa"
|
|
|
|
# akaamuru afungwe minyororo
|
|
|
|
Aliwaagiza askari wake kumkamata na kumfunga.
|
|
|
|
# kwa minyororo miwili
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa Paulo alifungwa na maaskari wawili kila mmoja upande wake mmoja.
|
|
|
|
# Akamuuliza yeye ni nani na amefanya nini.
|
|
|
|
Alimwuliza kuwa yeye ni nani?, Amefanya nini?
|
|
|
|
# Akamuuliza yeye ni nani
|
|
|
|
Mkuu wa ulinzi anazungumza na umati, hazungumzi na Paulo.
|
|
|