sw_tn/act/21/32.md

603 B

aliukimbilia umati chini

Kutoka ngome, kuna ngazi kwenda chini katika mahakama.

mkuu wa kikosi

afisa wa kikosi cha kijeshi cha Rumi au kiongozi wa askari wapatao 600

alimkamata Paulo

"Akamshika Paulo" au "Paulo alishikiriwa"

akaamuru afungwe minyororo

Aliwaagiza askari wake kumkamata na kumfunga.

kwa minyororo miwili

Hii inamaanisha kuwa Paulo alifungwa na maaskari wawili kila mmoja upande wake mmoja.

Akamuuliza yeye ni nani na amefanya nini.

Alimwuliza kuwa yeye ni nani?, Amefanya nini?

Akamuuliza yeye ni nani

Mkuu wa ulinzi anazungumza na umati, hazungumzi na Paulo.