sw_tn/act/21/25.md

820 B

Sentensi unganishi

Yakobo na Wazee katika Yerusalemu wanamaliza maswali yao kwa Paulo.

wanapaswa kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu, na damu, kutokana na kile kilichonyongwa

ote hayo yalikuwa sheria za kile wanachotakiwa kula.

kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu

Wajiepushe kula nyama iliyotolewa kwa ibada za sanamu.

kutokana na kile kilichonyongwa

Mnyama ambaye ameuawa bila damu kutoka.

ibada ya kujitakasa pamoja nao

Kabla ya kuingia Hekaluni Wayahudi walitakiwa kuwa sherehe au tohara. Kusafishwa alikuwa na kufanya na Wayahudi kuwa na mawasiliano na watu wa mataifa mengine.

siku ya kujitakasa

Hii ni hatua tofauti ya kujitakasa ambayo ilitakiwa kuitimiza ili waweze kuingia hekaluni.

mpaka sadaka ilipotolewa

"Mpaka walipowasilisha wanyama kwa sadaka"