sw_tn/act/21/17.md

13 lines
257 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Paulo na wenzake sasa wanafika Yerusalemu.
# ndugu walitukaribisha
Hawa walikuwa waumini wanaume na wanawake, waliowakaribisha.
# alitoa taarifa hatua kwa hatua
"Paulo alitoa maelezo ya kina ya mambo yote ambayo Mungu aliyatenda"