|
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo na wenzake sasa wanafika Yerusalemu.
|
|
|
|
# ndugu walitukaribisha
|
|
|
|
Hawa walikuwa waumini wanaume na wanawake, waliowakaribisha.
|
|
|
|
# alitoa taarifa hatua kwa hatua
|
|
|
|
"Paulo alitoa maelezo ya kina ya mambo yote ambayo Mungu aliyatenda"
|
|
|