forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
257 B
Markdown
13 lines
257 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo na wenzake sasa wanafika Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# ndugu walitukaribisha
|
||
|
|
||
|
Hawa walikuwa waumini wanaume na wanawake, waliowakaribisha.
|
||
|
|
||
|
# alitoa taarifa hatua kwa hatua
|
||
|
|
||
|
"Paulo alitoa maelezo ya kina ya mambo yote ambayo Mungu aliyatenda"
|
||
|
|