sw_tn/act/20/36.md

589 B

Taarifa unganishi

Paul anamalizia muda na hotuba yake kwa wazee wa kanisa la Efeso na kisha kuomba pamoja nao.

alipiga magoti akaomba pamoja nao

Ilikuwa desturi ya kawaida kupiga magoti wakati wa kuomba. Ilikuwa alama ya unyenyekevu mbele za Mungu.

kumwangukia Paulo shingoni

"Aliwakumbatia kwa karibu" au "kuweka mikono yao karibu naye"

walimbusu

Kumbusu mtu kwenye shavu ni usemi wa kindugu au upendo wa kirafiki katika Mashariki ya Kati.

Kamwe hawatauona uso wake tena

Neno "uso" hapa inawakilisha mwili wa Paulo kimwili. 'hamtaniona katika mwili katika dunia hii.'