forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
589 B
Markdown
21 lines
589 B
Markdown
|
# Taarifa unganishi
|
||
|
|
||
|
Paul anamalizia muda na hotuba yake kwa wazee wa kanisa la Efeso na kisha kuomba pamoja nao.
|
||
|
|
||
|
# alipiga magoti akaomba pamoja nao
|
||
|
|
||
|
Ilikuwa desturi ya kawaida kupiga magoti wakati wa kuomba. Ilikuwa alama ya unyenyekevu mbele za Mungu.
|
||
|
|
||
|
# kumwangukia Paulo shingoni
|
||
|
|
||
|
"Aliwakumbatia kwa karibu" au "kuweka mikono yao karibu naye"
|
||
|
|
||
|
# walimbusu
|
||
|
|
||
|
Kumbusu mtu kwenye shavu ni usemi wa kindugu au upendo wa kirafiki katika Mashariki ya Kati.
|
||
|
|
||
|
# Kamwe hawatauona uso wake tena
|
||
|
|
||
|
Neno "uso" hapa inawakilisha mwili wa Paulo kimwili. 'hamtaniona katika mwili katika dunia hii.'
|
||
|
|