sw_tn/act/20/33.md

975 B

Taarifa unganishi

Paulo alimaliza hotuba yake kwa wazee wa Kanisa la Efeso, Ambayo alikuwa akiihutubia

Sikutamani fedha ya mtu.

"Sikuwa na tamaa ya fedha za mtu yeyote" au "Mimi mwenyewe sikuhitaji fedha ya mtu yeyote"

fedha ya mtu, dhahabu, au nguo

Mavazi yalidhaniwa kuwa kama hazina; kwa kadri mtu alivyozidi kuwa navyo, ndivyo alivyodhaniwa kuwa na utajiri.

Ninyi wenyewe

Neno "wenyewe" inatumika hapa kwa kuongeza msisitizo.

nimefanya kazi kwa mikono yangu mwenyewe kutimiza mahitaji yangu.

Neno "mikono" hapa inawakilisha roho yote ya Paulo. 'Mimi nilifanya kazi kwa mikono yangu mwenyewe ya kupata fedha na kulipa kwa ajili ya gharama zangu."

Kufanya kazi kuwasaidia wanyonge

"Fanyeni kazi ilikupata fedha kusaidia watu ambao hawawezi kuzipata kwaajili yao wenyewe"

maneno ya Bwana Yesu,

Hapa "maneno" yanafafanua juu ya Yesu alivyosema.

Ni heri kutoa kuliko kupokea

Mtu hupokea neema ya Mungu na uzoefu wa furaha yake zaidi anapotoa