forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
692 B
Markdown
33 lines
692 B
Markdown
# Taarifa unganishi
|
|
|
|
Paulo anazidi kuongea na wazee wa Efeso
|
|
|
|
# Na sasa, tazama, najua
|
|
|
|
"Na sasa, nisikilizeni kwa makini, kwasababu ninajua"
|
|
|
|
# Mimi najua kuwa ninyi nyote
|
|
|
|
Mimi najua kuwa ninyi kwa ujumla wenu wote.
|
|
|
|
# miongoni mwao nilikwenda kuwahubiri kuhusu Ufalme
|
|
|
|
kwenu ambao mimi niliwahubiria ujumbe kuhusu ufalme wa Mungu
|
|
|
|
# hamtaniona uso wangu tena
|
|
|
|
Neno 'uso' hapa inawakilisha mwili wa Paulo.
|
|
|
|
# Mimi sina hatia katika damu ya mtu yoyote
|
|
|
|
Siwezi kulaumiwa na mtu yeyote kuwa na hatia mbele za Mungu
|
|
|
|
# mtu yeyote
|
|
|
|
Hapa inamaanisha nafsi ya kila mmoja wao awe mwanaume au mwanamke.
|
|
|
|
# Kwa maana sikujizuia kuwatangazia
|
|
|
|
"kwamba sikukaa kimya bila kuwatangazia ujumbe wa kweli.
|
|
|