|
# Galio akasema
|
|
|
|
Galio alikuwa gavana wa Kirumi wa Mkoa.
|
|
|
|
# sheria zenu
|
|
|
|
Hayo yalikuwa ni sheria ya Musa na desturi nyingine za kiyahudi wakati wa Paulo
|
|
|
|
# Mimi sitamani kuwa hakimu kwa habari ya mambo hayo
|
|
|
|
Mimi nakataa kufanya hukumu kuhusiana na mambo hayo"
|
|
|