forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
262 B
Markdown
13 lines
262 B
Markdown
|
# Galio akasema
|
||
|
|
||
|
Galio alikuwa gavana wa Kirumi wa Mkoa.
|
||
|
|
||
|
# sheria zenu
|
||
|
|
||
|
Hayo yalikuwa ni sheria ya Musa na desturi nyingine za kiyahudi wakati wa Paulo
|
||
|
|
||
|
# Mimi sitamani kuwa hakimu kwa habari ya mambo hayo
|
||
|
|
||
|
Mimi nakataa kufanya hukumu kuhusiana na mambo hayo"
|
||
|
|