sw_tn/act/17/26.md

699 B

mtu mmoja

Inaweza kuwa na maana zifuatazo .1) "ni Adamu ambaye Mungu alimuumba" au 2) "Inaweza ikajumuisha Adamu na Hawa ambao Mungu aliwaumba"

alifanya Mataifa

"Mungu,muumbaji, alifanya mataifa yote"

yote ...wao

Hapa inamanisha watu wote waishio juu ya uso wa dunia.

kwahiyo

neno hili ni alama ya kauli kwamba alisema kwasababu ya kile ambacho alisema hapo awali.

kumtafuta Mungu japo hayuko mbali nao

"Kumtafuta Mungu"

wamfikie

"kuona haja ya Yeye"

hayuko mbali

Paulo anasema kinyume ya kile anachozungumza ili kusisitiza jambo. " Yeye yuko karibu sana"

na kila mmoja wetu

Paulo anajiweka mwenyewe, wasikilizaji wake na kila taifa alipotumia neno "kila mmoja wetu"