forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
699 B
Markdown
33 lines
699 B
Markdown
|
# mtu mmoja
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwa na maana zifuatazo .1) "ni Adamu ambaye Mungu alimuumba" au 2) "Inaweza ikajumuisha Adamu na Hawa ambao Mungu aliwaumba"
|
||
|
|
||
|
# alifanya Mataifa
|
||
|
|
||
|
"Mungu,muumbaji, alifanya mataifa yote"
|
||
|
|
||
|
# yote ...wao
|
||
|
|
||
|
Hapa inamanisha watu wote waishio juu ya uso wa dunia.
|
||
|
|
||
|
# kwahiyo
|
||
|
|
||
|
neno hili ni alama ya kauli kwamba alisema kwasababu ya kile ambacho alisema hapo awali.
|
||
|
|
||
|
# kumtafuta Mungu japo hayuko mbali nao
|
||
|
|
||
|
"Kumtafuta Mungu"
|
||
|
|
||
|
# wamfikie
|
||
|
|
||
|
"kuona haja ya Yeye"
|
||
|
|
||
|
# hayuko mbali
|
||
|
|
||
|
Paulo anasema kinyume ya kile anachozungumza ili kusisitiza jambo. " Yeye yuko karibu sana"
|
||
|
|
||
|
# na kila mmoja wetu
|
||
|
|
||
|
Paulo anajiweka mwenyewe, wasikilizaji wake na kila taifa alipotumia neno "kila mmoja wetu"
|
||
|
|